Gospel Global Chris Mwahangila – Mungu Hawezi Kukusahau

Chris Mwahangila – Mungu Hawezi Kukusahau

Download Mungu Hawezi Kukusahau Mp3 by

A soul-lifting song from the African Christian/Gospel worshipper, minister, and song writerย โ€œโ€œ, as He calls this song โ€œMungu Hawezi Kukusahauโ€. This song is sure to bless your heart and uplift your spirit.

Download Audio Mp3, Stream, Share, and be blessed

DOWNLOAD HERE

DOWNLOAD MORE CHRIS MWAHANGILA SONGS HERE

Lyrics: Mungu Hawezi Kukusahau by

Ooh
Kweli na kwamba Danieli
Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali
Ooh
Kweli na kwamba Danieli
Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali
Ooh
Mbali na kwamba Shedraki na Abedinego
Walitupwa kwenye tanuru la moto
Watu wakajiuliza sana, tulitupa watatu
Wanne amatoka wapi?
Askari wakajiuliza, tulitupa watatu
Wanne ametoka wapi?
Kumbe katikati ya taabu Mungu yupo
Katikati ya mateso Mungu yupo
Katikati ya taabu zako Mungu yuko
Katikati ya vita kubwa Mungu yupo
Hawezi kukusahau, Hawezi kukukimbia
Oh Mungu wetu hawezi kukusahau
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
Usikate tamaa Mungu hawezi
Mungu hawezi, hawezi
Usijione uko pekee yako, aah
Kwa nini umepanga kujiua wewe?
Kwa nini umepanga kuikana imani yako?
Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?
Unaona maisha yamefika mwisho
Kwa nini umepanga kujiua wewe?
Kwa nini umepanga kuikana imani yako?
Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?
Umehangaika sana ndugu
Ooh unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako
Unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako
Ninalo neno nataka kusema na wewe
Ninalo neno nataka kuzungumza nawe
Hata upitie shida ndugu yangu
Hata upitie magumu ndugu yangu
Mungu yuko na wewe katikati ya majaribu
Mungu yuko na wewe katikati ya magumu
Mungu yuko na wewe usikate tamaa
Mungu yuko na wewe usipange kurudi nyuma
Mungu wee hawezi kukusahau
Mungu wee hawezi kukukimbia
Mungu wee hawezi kukuacha wee
Haweezi hawezi, Hawezi Mungu
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuacha ujifie mwenyewe)
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
Usikate tamaa, usirudi nyuma
Mungu hawezi, hawezi
Mungu hawezi kukusahau .
Ninataka nikutie moyo mama yangu wewe
Ninataka nikutie moyo baba yangu wewe
Ninataka nikutie moyo ndugu yangu wewe
Mungu hawezi, hawezi kukusahau
Ninataka nikutie moyo mama yangu wewe
Ninataka nikutie moyo baba yangu wewe
Ninataka nikutie moyo ndugu yangu wewe
Mungu hawezi, hawezi kukusahau
Wanadamu wanaweza kukusahau
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
Wanadamu wanaweza kukukimbia
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
Wanadamu wanaweza wakakutenga
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
Wanadamu wanaweza wakakataa
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
Haweezi Mungu wangu,
Haweezi Mungu wangu, aiyoo
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
(Hawezi kuacha ujifie mwenyewe)
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
Usikate tamaa, usirudi nyuma
Mungu hawezi, hawezi
Usinung’unike
Mungu hawezi kukusahau

Comment below with your feedback and thoughts on this post.