Download Nitafanyaje Mp3 by Diamond Platnumz
Here’s a song by the African prolific music artiste and talented singer “Diamond Platnumz“. This song is titled “Nitafanyaje”, as it was released alongside its video. You’ll surely enjoy this one.
Download Audio Mp3, Stream, Share, and stay graced
If You’re a lover of good and great Gospel/Christian music, be it Afro Gospel or contemporary tune, then this song “Nitafanyaje” is a beautiful song that should lift your soul.
The song “Nitafanyaje” is a melody and tune that was written due to inspiration by the Holy Ghost, as this song was made to bless lives and build your faith in Christ the Lord. The beautiful lyrics, vocals, energy, and inspiration USed in birthing this song will thrill you.
Lyrics: Nitafanyaje by Diamond Platnumz
Siwezisema kitandani, labda umasikini wangu
Ndo kinayonishusha thamani watahminike wenzangu
Siwezisema skujali (Labda vizawadi vywangu mimi)
Havikufikia ukubwa wanavitoa wenzangu
Kinachoniumiza hauridhiki ugao wa Mola
Ningali kwa mimi mbona hujaombola
Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
Kwa hizo posti zake na wenye nguvu (Kuyatoa hiyoo)
Oh oh mi moyo wangu mamaa
Unaona uchungu
Mwenzake mi moyo wanguu
Anauumiza sanaa
Sema nitafanyani
Ndo ivo nitafanya
Ila nitafanya nini
Ndo ivo nitafanyaje
Nashikwa nigagaziko kila nikiingia chumbani
Sijui nilalie tandiko ama sakafuni aah
Nachoka tu kwa nje ndani (Masikitikoo)
Sababu pengo lako honey (Bado lipoo)
Eeh, kinachoniumiza hauridhiki ugao wa Mola
Ningali kwa mimi mbona hujaombola
Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
Kwa hizo posti zake na wenye nguvu (Kuyatoa hiyoo)
Oh oh mi moyo wangu mamaa
Unaona uchungu
Mwenzake mi moyo wanguu
Anauumiza sanaa
Oi, lije-lije, hii ngoma iweke lipiti
Maana natupa stimu na wanangu kulilia kijiti
Lije-lije, hii ngoma iweke lipiti
Sajuti ya wazimu kuitoa tu msema muziki
Kwa maana inatu (Fire) na inatu (Fire)
Mwanangu inawa (Fire) na inawa (Fire)
Machizi wote wanapata (Fire) eh wanapata (Fire)
Na mbegu zinapata (Fire) eh zinapata (Fire)
Namnema mwanangu kwa upande wa kanga
Nilitamani tenge ila sijajipanga
Namnema mwanangu kwa muda pata mwenzio
Nilitamani manasi ila ndo sina salio
Mama yo mama (Amenitenda kausha damu)
Oh mama yo maa (Wamenitenda kausha damu)
Oh mama yoyo (Wamenitenda kausha damu)
Oh mama yo maa (Wamenitenda kausha damu)
Asa waitee
Oya makofi kigogo nipe mawili
Ka hujatumika sana sehemu za siri
Kaso mlunganzila shepu asili
Sa nipe ya kibunge-bunge utitiri (Twen zetu)
Asa audi waletee, walete apa kati
Waletee haoo, walete apa kati
Waletee asaa, walete apa kati
Walete haoo, walete hapa kati
Eeh tunacheza mpaka sa ngapi tunachezaa (Mpaka asubuhi)
Tunaruka mpaka sa ngapi, tunaruka (Mpaka asubuhi)
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Eeh (Kuelewa) aah
(Eeh unayumba) eeh (Sasa umeelewa) aah
Eh unayumba
We ndo si huelewa sa mbona unayumba
Unavyomwelewa eh unayumba
Oya wahuni wana namba zao zinaitwa (Apana chando)
Wanangu wana mamba zao zinaitwa (Selasini na mbili)
Masala wana mamba zao zinaitwa (Ishirini na sita)
Oya kuna wengine hawala namba