Gospel Global Gloria Muliro – Kitanzi

Gloria Muliro – Kitanzi

Download Kitanzi Mp3 by & Willy Paul

The well-known Gospel music minister and worship leader “Gloria Muliro” from Kenya comes through with a song of praise worship titled “Kitanzi” performed with Willy Paul. You’ll be blessed.

Get Audio Mp3, Stream, Share, and be blessed.

DOWNLOAD HERE

DOWNLOAD MORE GLORIA MULIRO SONGS HERE

Lyrics: Kitanzi by

Ooooh Willy, Willy, Willy Paul Tena
Na Gloria, Na Gloria
Mama, Mama, Mama, Mama, aaaah
Mama, Mama, Mama, Mama, aaaah
Mama, Mama, Mama, Mama, aaaah
Msaidizi Mama
Mama, Mama, Mama

Jolly We Mjolly, Tatizo kubwa ninalo mimi
Jolly we mjolly, tatizo kubwa ninalo mimi
(Ninalo mimi)
Tatizo gani hilo, yeye asiloliweza?
Tatizo gani hilo, yeye asiloliweza?
Naomba niskize, eh, Nipe sikio

Najitia kitanzi, najitia kitanzi
Nimechoshwa sana, ah, ah
Haina haja kitanzi, haina haja kulia
Haina haja kufa moyo, Maulana bado anakupenda
Haina haja kitanzi, haina haja kulia
Haina haja kufa moyo, Maulana bado anakupenda

Oooh bila huruma, msela nateseka na si utani
Oooh kudharauliwa, kudhulumiwa wanaojiweza
Oooh nifanye vipi mama? (ooh nifanye vipi?)
Hivi niende wapi mama? (ooh niende wapi?)
Why, why, why, why, why
Why, why, why, why, why me
Hebu sikiliza mwana, nikwambie
Mkamilifu hayuko, ila muumba
Tena yeye anafahamu vyema alivyokuumba
Usiogope, rudi mwana atakupokea
Laiti ungalijua, jinsi anavyokupenda, ah
Laiti ungalijua, yalivyo mengi aliyokuandalia ah

Najitia kitanzi, najitia kitanzi
Nimechoshwa sana, ah, ah
Haina haja kitanzi, haina haja kulia
Haina haja kufa moyo, Maulana bado anakupenda

Hivi Willy nina shaka
Shaka ya nini mwana?
Nahisi nimemkosea baba
Ni wa huruma wewe njoo
Kwa nini mama?
Atakurekebisha
Je, atanikubali?
Atanikubali? Nafsi yangu huu
Natamani Willy, kurudi kwake jalali
Kurudi kwake jalali
Lakini mami mi naogopa
Wataniwia radhi

Najitia kitanzi, najitia kitanzi
Nimechoshwa sana, ah, ah
Haina haja kitanzi, haina haja kulia
Haina haja kufa moyo, Maulana bado anakupenda
Haina haja kitanzi, haina haja kulia
Haina haja kufa moyo, Maulana bado anakupenda

Comment below with your feedback and thoughts on this post.