Motivation and Inspiration Rayvanny – Mwambieni

Rayvanny – Mwambieni

Download Mwambieni Mp3 by Ft. Macvoice

Here’s a song performed by the Global prolificย music artisteย and talented singer โ€œโ€œ. Thisย songย is titled โ€œMwambieniโ€ featuring Macvoice, as it was released alongside its video. You’ll enjoy as you listen.

Download Audio Mp3, Stream, Share, and stay graced

DOWNLOAD HERE

DOWNLOAD MORE RAYVANNY SONGS HERE

Lyrics: Mwambieni by

Iyo lizer
Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu
(Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Kwanza tuanze rangi yake
Ah! jamani ipo mwake
Natamani nione kopo lake
Amenunua wapi duka lake
Kisha tuje kwenye umbo lake ah!
Hapo lazima udate
Usije kutokwa mate
Mambo ya uturuki tuyaache
Maana mtoto kanawiri
Jaama! kumuacha uwe jasiri saana!
Nime shindwa kuwa bahiri
Mama! we nichune hadi kandambili
Sawa
Babe pose geuka freeze
Nipะต tabasamu la picha cheese
You are so mwaaa!
You are so cutะต
Kwako nime wehuka kabisa chizi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu
(Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Leo nawatambulisha
Mliokuwa hamjui
Hapa ndo nimetika mwenzenu
Shemeji yenu huyo
Kwake najibebisha
Usiku asubuhi
Tongonza tongoza ama zangu ama zenu
Shemeji yenu huyo
Ye ndo tiba ya mwili
Mama anituliza akiliโ€ฆJama
Ma Ex mtasubiri
Sanaaa
Kumuacha sitikiriii
Oooh! oh!
Pose Geuka Freeze
Nipe tabasamu la picha cheese
You are so mwaaaa!!!
You are so cute
Kwako nime wehuka kabisa chizi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu
(Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Comment below with your feedback and thoughts on this post.