Motivation and Inspiration Willy Paul – Nimelewa Rmx

Willy Paul – Nimelewa Rmx

Download Nimelewa Mp3 by & Jux

Here’s a song by the African prolific music artiste and talented singer ““. This song is titled “Nimelewa” performed with Jux, as it was released alongside its video. You’ll surely enjoy this one.

Download Audio Mp3, Stream, Share, and stay graced

DOWNLOAD HERE

DOWNLOAD MORE WILLY PAUL SONGS HERE

Lyrics: Nimelewa by

Si leo ni sikukuu, tufanye vitu kuu
Boo boo baby
Si leo ni sikukuu, tufanye vitu kuu (Pozze)
Boo boo baby

Naita kina Jaguar
Naita kina Joho na Sonko
Walete madoh

Mi nimelewa
Kwa mapenzi yako mi nimelewa
Baby mi nimelewa
Kwa mapenzi yako mi nimelewa

Ooh baby
Ukiniguza kwa mwili na vaporate, mmh
Umenichanganya changanya
Akili ime-saturate

Sikuwahi jua
Kuna mapenzi ya kweli mama
Until nikakupata
Ooh I thank the Father

Baby mi nimelewa
Kwa mapenzi yako mi nimelewa
Baby mi nimelewa
Kwa mapenzi yako mi nimelewa (Ooh, eeh)

Uki-smile baby girl hako kadimple
Unafanya mi nafall tu vi-deep so
Mapenzi yako tamu yaani sweet oh
Unafanya mi nafall tu visimple

Baby niko gauge, niko maji
Ndani ya mapenzi
Mi baby niko gauge, niko maji
Sitaki story ya mambogi

Baby mi nimelewa
Kwa mapenzi yako mi nimelewa
Baby mi nimelewa
Kwa mapenzi yako mi nimelewa

Physically, wacha nikupende mnyama mkali
Baby manjigi (Manjigi, manjigi)
Nyumbani kwetu tu ni gwiji, eeh (Gwiji, gwiji)

Hey girl
I cannot get enough of you, oh
Na hata nikidunda
I’m falling for you

Baby mi nimelewa (Nimelewa oh)
Kwa mapenzi yako mi nimelewa (Lewa oh oh)
Baby mi nimelewa (Lewa oh)
Kwa mapenzi yako mi nimelewa (Lewa oh)

Nimelewa, bila wewe siwezi
Nimelewa, ooh cherrie
Nimelewa, bila wewe siwezi
Nimelewa, ooh mpenzi

Nimelewa, bila wewe siwezi
Nimelewa, ooh cherrie
Nimelewa, bila wewe siwezi
Nimelewa, ii (ooh)

Nimelewa (Ooh ii, maiya)
Nimelewa (Ooh iii, maiya)
Nimelewa (Ooh ii, maiya)
Nimelewa (Ooh iii, maiya)
Nimelewa (Ooh woah, oh aiya)
Nimelewa (Oh ooh, woah ooh, woah oh)
(Teddy B)
Nimelewa (Lewa, lewa)

Comment below with your feedback and thoughts on this post.