African Gospel Songs Zabron Singers – Sio Bure

Zabron Singers – Sio Bure

Download Sio Bure Mp3 byย Zabron Singers

The renowned African Christian music ministers, praisers, andย worship leadersย whose songs have blessed lives โ€œZabron Singersโ€ birth out a song of praise worship which they title โ€œSio Bureโ€œ.

Get Audio Mp3, Stream, Share, and be blessed.

DOWNLOAD HERE

DOWNLOAD MORE ZABRON SINGERS SONGS HERE

Lyrics: Sio Bure byย Zabron Singers

Sio si bure eeh wala si utani
Sio utani twaendelea
Tujeshi kubwa safarini pamoja
Njia ni moja mpaka Jerusalemu

Safari yetu kamwe si bure
Tuna hakika na uzima uzima
Maana tuwazao wa wauteule
Tumefanyika wana wa Mungu
Miliki safi tena ndani ya Yesu
Kusali kwetu kwa hakika si bure

Sio sio si bure kwa Yesu ni faida
Tuna sehemu ya kupeleka shida
Wema nazo fadhili zake zimetukuka
Ukimwona Yesu umepata wokovu

Toka toka juu kule Mungu hutazama
Aone kama kuna wamtafutao
Mtafuteni Mungu maana apatikana
Ukimwona Mungu umepata uzima

Sio sio si bure kwa Yesu ni faida
Tuna sehemu ya kupeleka shida
Wema nazo fadhili zake zimetukuka
Ukimwona Yesu umepata wokovu

Toka toka juu kule Mungu hutazama
Aone kama kuna wamtafutao
Mtafuteni Mungu maana apatikana
Ukimwona Mungu umepata uzima

Hatukatai kweli kuna vikwazo
Vitisho vingi kukatisha tamaa
Hatuogopi maana tupo na Yesu

Kusimamia safari yetu
Hakuna jambo gumu la kumshinda
Iwe ni kifo tena kwake ni mwisho

Mwisho wa yote ntaishi naye
Hapo ndio mwisho wa safari yetu
Maumivu kwisha habari yake

Sio sio si bure kwa Yesu ni faida
Tuna sehemu ya kupeleka shida
Wema nazo fadhili zake zimetukuka
Ukimwona Yesu umepata wokovu

Toka toka juu kule Mungu hutazama
Aone kama kuna wamtafutao
Mtafuteni Mungu maana apatikana
Ukimwona Mungu umepata uzima

Sio sio si bure kwa Yesu ni faida
Tuna sehemu ya kupeleka shida
Wema nazo fadhili zake zimetukuka
Ukimwona Yesu umepata wokovu

Toka toka juu kule Mungu hutazama
Aone kama kuna wamtafutao
Mtafuteni Mungu maana apatikana
Ukimwona Mungu umepata uzima

Comment below with your feedback and thoughts on this post.